Kariakoo Dispensary

Barua Pepe

info@kariakoodispensary.com

Simu

+255 22 2180245

Wasiliana Nasi

Kuhusu Kariakoo Dispensary

Zahanati ya kuaminika katika moyo wa Dar es Salaam

Kuhusu Kariakoo Dispensary

Ilianzishwa mwaka 1973 na marehemu Dkt. Fanuel Maro, Kariakoo Dispensary ni kituo binafsi cha huduma za afya kinachoaminika, kilichopo Mtaa wa Swahili, katikati ya kitovu cha biashara cha Jiji la Dar es Salaam. Kwa zaidi ya miongo mitano, tumekuwa tukihudumia watu binafsi, familia na taasisi kwa huduma za afya za uhakika, masaa 24 kwa siku.

Tumejikita katika kutoa huduma za afya kwa wakati, kwa gharama nafuu na zenye ubora wa hali ya juu. Tunachanganya matumizi ya tiba za kisasa na falsafa ya kumweka mgonjwa mbele (patient-centered care), jambo linalotufanya kuwa miongoni mwa watoa huduma wa msingi wanaoaminika zaidi katika ukanda huu.

Dhamira Yetu

Kutoa huduma za afya bora, salama na zinazopatikana kwa urahisi, kwa kuzingatia weledi, huruma na heshima kwa kila mgonjwa.

Maono Yetu

Kuwa zahanati inayoongoza katika utoaji wa huduma za afya za msingi masaa 24 kwa siku, kwa viwango vya juu vya ubora na uadilifu.

Maadili Yetu